Jambo Lyrics
[Intro: Ziggy Marley]
Hey, this is a song from Kenya
In the language of Swahili from Africa
Hello mister, hello sister
No problem, no worries
Oh, yeah!
[Chorus 1: Ziggy Marley]
Jambo, jambo bwana
Habari gani? Mzuri sana
Wageni, mwakaribishwa
Nyumba yetu, hakuna matata
[Chorus 1: Angélique Kidjo]
Jambo, jambo bwana
Habari gani? Mzuri sana
Wageni, mwakaribishwa
Nyumba yetu, hakuna matata
[Verse 1: Ziggy Marley & Angélique Kidjo]
Tujenge pamoja, hakuna matata
Amani kwa dunia, hakuna matata
Uhuru na undugu, hakuna matata
Afya na shupavu, hakuna matata
Harambe sawa sawa, hakuna matata
[Chorus 2: Ziggy Marley]
Jambo, jambo dada
Habari gani? Mzuri sana
Wageni, mwakaribishwa
https://www.elyricsworld.com/jambo_lyrics_ziggy_marley.html
Nyumba yetu, hakuna matata
[Chorus 2: Angélique Kidjo]
Jambo, jambo dada
Habari gani? Mzuri sana
Wageni, mwakaribishwa
Nyumba yetu, hakuna matata
[Verse 2: Ziggy Marley & Angélique Kidjo]
Vile nakupenda, hakuna matata
Kila siku ubarikiwe, hakuna matata
Sasa watu wetu wote, hakuna matata
Furaha na baraha, hakuna matata
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});