Waah! Lyrics
[Diamond Platnumz]
Anachukua anaweka Waah!
Anachukua anaweka Waah!
Anachukua anaweka Waah!
Anachukua anaweka Waah!
Kaghamu kupendwa na
Kaghamu nasikia
Tamu kupendwa nawe
Tamu kupendwa nawe, tamu
Tamu kupendwa nawe
Oh maneno maneno, tumeyazoea
Vijineno neno, tushazoea
Wapenzi wangu ku-party
Kwani ninawahusu
Shepu yake mbaya, hivi inawahusu
Udangaji umalaya, wao inawahusu nini
Wamegusa pabaya na mwaka huu
Lazima wachuchumae
Wameingia cha kike
Cha kike
Wameingia cha kike
Cha cha kike
Wameingia cha kike
Cha kike
Wameingia cha kike
Cha cha kike
Aah Bakokote Babu Tale
Don Mendez, Ba Junior
Chumbani Hennessy
Hunipatia panadol
Kuchenga za Mеssi
Na mashuti ya Ronaldo
Yaani ndani nikiingia tu
Anachukua anaweka Waah!
Ah kwenye gari
Anachukua anawеka Waah!
https://www.elyricsworld.com/waah!_lyrics_diamond_platnumz.html
Iwe jikoni ama varandani
Anachukua anaweka Waah!
Doze doze, doze doze
Anachukua anaweka Waah!
Yaani baadae salama joto
Toa leso nipepepee
Oya kombo joto
Toa leso nipepepee
Oya mzee kunami, jipepee
Oh Ricardo Momo, jipepe
(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});