Music Song Lyrics

Music Lyrics
Browse: 0-9 A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z
Custom Search
Main Menu
Home
Top Lyrics
Newest Lyrics
Tourist Landmarks
Download Ringtones
Contact
Submit Lyrics
 
Members Area
Remember me
Forgot password
Sign Up




Music Lyrics » » Lyrics - Lyrics


PEMA PEPONI Lyrics

[Intro]
Dedication kwa Apto...Apton
Nintey one, hadi two zero one three
Mungu kamuweka hapa duniani
Yeah
Mungu kamuweke pema peponi

[Verse 1]
Na ni kama tu jana nilipokutana na kujuana naye
Nilikuwanga form two kwa hivyo kujuana ilikuwanga ni one-two
Alichosema hakukosa kutenda
Juu ya hiyo wengi walimpenda
Lakini Mungu aliye juu zaidi yetu sote kampenda

[Chorus]
Mweke pema peponi
(Mweke pema peponi)
Mweke pema peponi
(Mweke pema peponi)
Mweke pema peponi
(Mweke pema peponi)
Mweke pema peponi
(Mweke pema peponi)

[Verse 2]
Ndugu kwa wengi
Rafiki kwa wengi
Mwana kwa wale wachache wasio wengi
Angekuwa bado ‘jadedi ningemweka kwa yangu bendi
Bendi ya Mwokozi
Naye awe kiongozi
Atufunze kuacha uchokozi

[Chorus]
Mweke pema peponi
(Mweke pema peponi)
Mweke pema peponi
(Mweke pema peponi)
Mweke pema peponi
(Mweke pema peponi)
Mweke pema peponi
(Mweke pema peponi)

[Verse 3]
Alikuwanga tu ishirini na
Kama jua na nyota pamoja aling’aa
Aye, si kwa majokes alikuwa far
https://www.elyricsworld.com/pema_peponi_lyrics_hotsea.html
Alikuwa Hart
Nami nilikuwa fan
Lakini nani angedhani angedie
Kijana so ripe, so hype, so young
Dakika moja alikuwa so sound
The next minute alikuwa out no sound
Sikudhani angeenda this round
Sidhani nitaweza kusahau
Smile yake, face yake, uzuri wake, kila kitu chake

[Bridge]
Psalms 23 verse 4
“Ye though I walk through the valley of shadow of death,
I will fear no evil, for you are with me, your rod and staff they comfort me”

[Chorus]
Mweke pema peponi
(Mweke pema peponi)
Mweke pema peponi
(Mweke pema peponi)
Mweke pema peponi
(Mweke pema peponi)
Mweke pema peponi
(Mweke pema peponi)

[Outro]
Sisi wanawako tumekusanyika
(Angalia Bwana)
Sisi hatuwezi bila wewe
(Angalia Bwana)
Sisi wanawako tumekusanyika
(Angalia Bwana)
Bila wewe hatuwezi
(Angalia Bwana)

Latest lyrics from HOTSEA: You may also like these song lyrics:
NDANI YA MACHO Lyrics
LEO Lyrics
FRIENDS FOR LIFE (F4L) Lyrics
DAMU Lyrics
VOODOO Lyrics
LMS (Lil Ms Sunshine) Lyrics
SICKER Lyrics
RAPPER-POLOGY Lyrics
WAJUA Lyrics
SI AJALI Lyrics


We tried to make HOTSEA - PEMA PEPONI Lyrics accurate, but if you find any mistake in PEMA PEPONI Lyrics please use the submit lyric link from the left menu to submit the right version. You can also submit HOTSEA Lyrics that are not currently present in our site using the same link. We appreciate that.

Other options:
PEMA PEPONI lyrics @ songlyrics.com

[Lyrics Time]
All lyrics are property and copyright of their owners. All lyrics provided for educational purposes only.
�2004-2011 elyricsworld.com

Lyrics